Jamaa jina lake anaitwa Ipupa Nsimba aka fally ipupa aka “DiCaprio” aka “La Merveille” alizaliwa pale Kinshasa mnamo Desemba 14 1977.Ni mwimbaji na ni mpiga Guitar mwenye kipaji cha hali ya juu sana.Alikuwa ni mmoja wa wasanii wa kundi la Quartier Latin kwa takribani miaka 10 alikuwa akifanya kazi zake na Koffi Olomide.Ametengeneza nyimbo kadhaa zilizo hit akiwa na Koffi moja wapo ni Eternellement on Force de Frappe ya mwaka 2001 et Ko Ko Ko Ko on Affaire d’Etat.Aliachia album yake ya kwanza iliyoitwa Droit Chemin ambayo iliuza zaidi ya copies 100,000.
Jamaa amefanya ngoma moja kali zana na Olivia wa G Unit inayoitwa Arsenal de Belles Mélodies ngoma imekamata si kitoto,pia unaweza kumcheki hapa http://www.fally.cd
Facebook Fally Ipupa’s Official Page
Facebook Badge
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WANAUME FAMILY B4 HAWAJA SEPARATE
NDIO ZETU KUWAKIMBIZA
- TMK MAJITA ORIGINAL
- DAR ES SALAAM, TEMEKE, Tanzania
- KUNDI LA TMK MAJITA ORIGINAL,LILIANZISHWA MIAKA SABA ILIYOPITA PALE MAENEO YA KEKO FLATS,KUNDI LILIANZA NA WASANII KUMI,LAKINI TULIFANYA MCHUJO MPAKA WAKABAKIA WASANII SITA.MPAKA SASA TUNA ALBUM MOJA INGAWA HAIJAINGIA SOKONI LAKINI BAADHI YA NYIMBO ZIMESHATOKA RADIONI.WAJUE WASANII WA TMK MAJITA ORG:-ENO K,FRED FID,SOULDIER,KINDAGO,JOSE A.K.A KAMOJA NA DIBWIZZLE
No comments:
Post a Comment