Ilikuwa ni siku ya furaha sana kwa Enock & Dorice

TUMERUDI TENA

Hello,

Ni mda mrefu tangia tumekuwa kimya katika update ya blog yetu na hata mambo yetu kama TMK Majita lakini kuanzia sasa tumerudi upya na kila siku utakuwa unapata mambo mapya kutoka katika page yetu

Ebwana huyu Dogo wa zimbabwe,mshiko wote huo anaenda kununua Mkate,hivi huo mpunga ungekuwa Dola ingekuwaje?
Eno k msanii wa Tmk Majita Org akiwa katika pozi maeneo yake ya kujidai
mrectz@yahoo.com

SIR NATURE APOTEZA MBAYA NDANI YA FIESTA

SIR NATURE AKIMWAGA FLAVA ZA "MUGAMBO"NA KIMWANA LIL KIM
MTOTO LIL KIM ALIYAKUBALI MAUJANJA YA SIR NATURE,MTOTO ALIDATA KINOMA
D BWAY & FRED FID
KINDAGO
MAN X
ENO K
ENO K

TMK MAJITA ORIGINAL YAACHIA MPYA LUNINGANI

Mtu mzima Eno k akiwa sambamba ni Fred Fid katika Pause la Video yao mpya ya Wanachekesha
HAMA KWELI SIKU HIYO AIKUWA YA KITOTO
SHANGWE ZA VIJANA WA MULTICHOICE TANZANIA
DADA REVINA AKIWA BUSY NA MZIKI
DADA REVINA NA BAADHI YA WADAU AKIWA KATIKA POZI LA USIKIVU WA KUNGOJEA MSHINDI WA HD PVR
Hapa ni Revina , Aidan na Enock wakicheza kwa shangwe la ukweli ukweli

ILIKUWA NI SIKU YA JUMAMOSI KATIKA UZINDUZI WA KOMBE KA DUNIA PALE BENJAMIN MKAPA TOWER KATIKA UKUMBI WA SERENGETI


Siku hiyo ilikuwa si kitoto mana vijana walikula bata la ukweli mbayaaaaaa
VIDEO MPAYA YA BABY GIRL IPO HEWANI.TUKIONGEA NA UONGOZI WA MAJITA ULISEMA KUWA VIDEO IMESHAANZA KURUSHWA KATIKA VITUO MBALI MBALI VYA TELEVISION HAPA NCHINI.PIA UNAWEZA KU-DOWNLOAD NYIMBO YA BABY GIRL FOR FREE YAANI BILA MALIPO
http://www.sendspace.com/file/qjw1y8 BABY GIRL AUDIO TRACK

HAYA NDIO MAISHA SASA AU SIO JOHN?

Naona hapa John kawinga akiwa na kifaha chake alichofunga nacho pingu za maisha,huuu ndio mpango mzima vijana

KIJANA INNOCENT SHIO KATIKA POZI LA MAUZO

Uza kijana mana maisha yenyewe ni mafupi.Jamaa ukitaka kumpata we chart na wazee wa mujini utampata tu
Jamaa jina lake anaitwa Ipupa Nsimba aka fally ipupa aka “DiCaprio” aka “La Merveille” alizaliwa pale Kinshasa mnamo Desemba 14 1977.Ni mwimbaji na ni mpiga Guitar mwenye kipaji cha hali ya juu sana.
Alikuwa ni mmoja wa wasanii wa kundi la Quartier Latin kwa takribani miaka 10 alikuwa akifanya kazi zake na Koffi Olomide.Ametengeneza nyimbo kadhaa zilizo hit akiwa na Koffi moja wapo ni Eternellement on Force de Frappe ya mwaka 2001 et Ko Ko Ko Ko on Affaire d’Etat.Aliachia album yake ya kwanza iliyoitwa Droit Chemin ambayo iliuza zaidi ya copies 100,000.
Jamaa amefanya ngoma moja kali zana na Olivia wa G Unit inayoitwa Arsenal de Belles Mélodies ngoma imekamata si kitoto,pia unaweza kumcheki hapa http://www.fally.cd
Facebook Fally Ipupa’s Official Page

Rick Ross and Floyd Mayweather sqaush the beef

The history of Hip Hop has come to create countless beefs, but there are rarely instances where peace treaties are created, at least peace that is meant to stay permanent.
After constant verbal sparring in 2009 and even a Kodak moment with kids, Rick Ross and Floyd Mayweather Jr. have finally decided to put their issues to the side and dead the beef.
Word, rappers are trying to take the higher route in 2010, who would have ever thought the day would come. Applause.
During an interview with MTV, the boss spoke on how a meeting between the two ended recently.
“Yeah, bumped into Floyd Mayweather. Most definitely. We chopped it up like G's and after a discussion, we shook hands. So that's squashed. “
He added that 2010 has brought about some new changes that he was willing to make .
"It's a new year, it's time to get new money. Y'all know what it is. I kept it 1,000.”
So, does that mean that Ross could find a way to iron out the wrinkles of his “relationship” with 50 Cent, or has that situation already reached the point of no return

Rumors have recently surfaced regarding adult film star Jazmine Cashmere's pregnancy and the father of her unborn child. Speculation has suggested that rapper Jay-Z is the father of Cashmere's baby. While admitting that she was indeed six months pregnant, Cashmere set the record straight via Twitter, revealing that Jay was not the father of her baby. Other rappers including Diddy and 50 Cent have been named as possible fathers of the porn star's baby. Cashmere insists however, that the father of her child is not a New York rapper.

Kelis Claims Nas Owes $200,000 in Unpaid Support

According to several reports, Kelis has filed paperwork against estranged husband Nas stating that he owes over $200,000 in child and spousal support. However, Nas has plead not guilty to contempt of court. TMZ reports that the actual contempt hearing will take place sometime in March. If convicted, Nas could indeed receive jail time.

Definitely not a good look. We'll keep you updated as this story progresses.

WANAUME FAMILY B4 HAWAJA SEPARATE

WANAUME FAMILY B4 HAWAJA SEPARATE
Jamaa walikuwa poa sana lakini mwisho wao nao ulifika basi kila mmoja akijichenga kivyake ila jamaa walitaka kujaribu mziki wa Majita TMK

NDIO ZETU KUWAKIMBIZA

My photo
DAR ES SALAAM, TEMEKE, Tanzania
KUNDI LA TMK MAJITA ORIGINAL,LILIANZISHWA MIAKA SABA ILIYOPITA PALE MAENEO YA KEKO FLATS,KUNDI LILIANZA NA WASANII KUMI,LAKINI TULIFANYA MCHUJO MPAKA WAKABAKIA WASANII SITA.MPAKA SASA TUNA ALBUM MOJA INGAWA HAIJAINGIA SOKONI LAKINI BAADHI YA NYIMBO ZIMESHATOKA RADIONI.WAJUE WASANII WA TMK MAJITA ORG:-ENO K,FRED FID,SOULDIER,KINDAGO,JOSE A.K.A KAMOJA NA DIBWIZZLE

SAUTI ZA BUSATA YARUDI TENA

SAUTI ZA BUSATA YARUDI TENA
ULE WAKATI WA KUPATA KITU ROHO INAPENDA UMESHAWADIA TENA.LILE TAMASHA KUBWA LINALO FANYIKA KILA MWAKA KULE ZANZIBAR LINAKUJIA TENA MWAKANI MWEZI WA 2,TAFADHALI USIKOSE

MDAU ENO K

MDAU ENO K
Jamaa ndie kiongozi wa kundi zima la Majita Original

BASHAM

BASHAM
Washkaji wanaiwakilisha vizuri sana Keko Machungwa.Hip Hop ipo damuni sidhani kama tunaweza kuiacha,hayo ni maneno ya mmoja wao wakati akiongea na mdaku

2 PAC & B.I.G

2 PAC & B.I.G
Hivi hawa jamaa wangekuwepo mpaka leo ingekuwaje?pliz ebu tunaomba maoni yako

EAST COAST TEAM (ECT)

EAST COAST TEAM (ECT)
Jamaa walichengua sana katika anga la mziki wa kibongo lakini mmmhhhh sijui shetani alitoka wapi tena mna aliwamega wao walio imba ama zangu ama zao ila ni mzuka sana kama watakuwa tena pamoja

TMK MAJITA KUPAGAWISHA CHANIKA

TMK MAJITA KUPAGAWISHA CHANIKA
Kundi zima la TMK MAJITA ORIGINAL linategemea kufanya show ya kufa mtu katika kusherehekea sikukuu ya X Mass kule chanika katika ukumbi wa BUTIAMA VILLA siku ya Ijumaa tarehe 25/12/2009 kiingilio ni sawa na bure,wakubwa ni buku 3000 tu na kutakuwa na disco toto kwa kiingilio cha Tsh 1000 tu wasanii kibao kutoka pande hizo watapamba jukwaa,nyote mnakaribishwa