HAMA KWELI SIKU HIYO AIKUWA YA KITOTO

No comments:

Post a Comment

WANAUME FAMILY B4 HAWAJA SEPARATE

WANAUME FAMILY B4 HAWAJA SEPARATE
Jamaa walikuwa poa sana lakini mwisho wao nao ulifika basi kila mmoja akijichenga kivyake ila jamaa walitaka kujaribu mziki wa Majita TMK

NDIO ZETU KUWAKIMBIZA

My photo
DAR ES SALAAM, TEMEKE, Tanzania
KUNDI LA TMK MAJITA ORIGINAL,LILIANZISHWA MIAKA SABA ILIYOPITA PALE MAENEO YA KEKO FLATS,KUNDI LILIANZA NA WASANII KUMI,LAKINI TULIFANYA MCHUJO MPAKA WAKABAKIA WASANII SITA.MPAKA SASA TUNA ALBUM MOJA INGAWA HAIJAINGIA SOKONI LAKINI BAADHI YA NYIMBO ZIMESHATOKA RADIONI.WAJUE WASANII WA TMK MAJITA ORG:-ENO K,FRED FID,SOULDIER,KINDAGO,JOSE A.K.A KAMOJA NA DIBWIZZLE

SAUTI ZA BUSATA YARUDI TENA

SAUTI ZA BUSATA YARUDI TENA
ULE WAKATI WA KUPATA KITU ROHO INAPENDA UMESHAWADIA TENA.LILE TAMASHA KUBWA LINALO FANYIKA KILA MWAKA KULE ZANZIBAR LINAKUJIA TENA MWAKANI MWEZI WA 2,TAFADHALI USIKOSE

MDAU ENO K

MDAU ENO K
Jamaa ndie kiongozi wa kundi zima la Majita Original

BASHAM

BASHAM
Washkaji wanaiwakilisha vizuri sana Keko Machungwa.Hip Hop ipo damuni sidhani kama tunaweza kuiacha,hayo ni maneno ya mmoja wao wakati akiongea na mdaku

2 PAC & B.I.G

2 PAC & B.I.G
Hivi hawa jamaa wangekuwepo mpaka leo ingekuwaje?pliz ebu tunaomba maoni yako

EAST COAST TEAM (ECT)

EAST COAST TEAM (ECT)
Jamaa walichengua sana katika anga la mziki wa kibongo lakini mmmhhhh sijui shetani alitoka wapi tena mna aliwamega wao walio imba ama zangu ama zao ila ni mzuka sana kama watakuwa tena pamoja

TMK MAJITA KUPAGAWISHA CHANIKA

TMK MAJITA KUPAGAWISHA CHANIKA
Kundi zima la TMK MAJITA ORIGINAL linategemea kufanya show ya kufa mtu katika kusherehekea sikukuu ya X Mass kule chanika katika ukumbi wa BUTIAMA VILLA siku ya Ijumaa tarehe 25/12/2009 kiingilio ni sawa na bure,wakubwa ni buku 3000 tu na kutakuwa na disco toto kwa kiingilio cha Tsh 1000 tu wasanii kibao kutoka pande hizo watapamba jukwaa,nyote mnakaribishwa